UPENDO WA YESU BY UPENDO NKONE
Refrain:
Kama mawimbi, upendo wa Yesu wanizunguka
Huku na huku
Kila ninapoimba
Niwapo nimelala
Ninapo tembea
Hata nikiwa nakula
Niwapo safarini
Nikiwa masomoni
Speaking:
Kila tunapokwenda tumezungukwa na nguvu za Mungu
Na kila tunalofanya ambalo ni kwa ajili ya utukufu wa jina lake
Tumezungukwa na upendo wake
Huku na huku na kule na hapo
Anitegulia mtego wa muovu
Ninalindwa kuliko wakuu wa dunia
Hata nikiwa pekee yangu
Na nikiwa nyumbani kwangu
Na nikiwa kazini
Huku na huku na huku
Nikiwa hospitalini
Nimezungukwa na nguvu za Mungu
Huku na huku he
Kama mawimbi, mawimbi…