ads

Thursday 15 March 2018

ASANTE YESU BY: ANGELA CHIBALONZA




umbali tumetoka
na mahali tumefika
ndio maana ninatambua

kwamba wewe ni Ebenezer
sio kwa uwezo wangu
ila ni kwa uwezo wako
mahali nimefika baba
acha nikushukuru
eh bwana umenisaidia
nifike mahali nimefika
bwana wewe ni ebenezer
maishani mwangu ooh
mi nataka ebenezer
nijengwe juu yako
mi nataka ebenezer
uwe msingi wangu
jiwe langu la pemebeni
nakutamani sana
jiwe langu la thamani
nakuhitaji sana
ooh ebenezer
jiwe langu
mi nataka maisha yangu
yajengwe juu yako
mi nataka ndoa yangu
ijengwe juu yako baba
ndoa zilizojengwa juu yako yahwe
hazivunjiki kamwe
nyumba zilizojengwa juu yako yahwe
mi nataka uimbaji yangu baba
ujengwe juu yako
maana wewe ni sauti yangu
wewe ni uzima wangu
mi nataka ebenezer nijenge juu yako
mi nataka ebenezer uwe msingi wangu
jiwe langu la pembeni
nakutamani sana
jiwe langu la thamani
nakuhitaji sana
ooh ebenezer
jiwe langu
ebenezer nang'aa
libanga nangai ya telo
olekitya mapewolo papaa eeh
kati na bomo inang'a
zambe, nakumisi oh
mukote akokani na yooh
bisika na komilelo yahwe
ezali sena makasi na yooh
mi nataka ebenezer
nijenege juu yako
mi nataka ebenezer
uwe msingi wangu
jiwe langu la pembeni nakutamani sana
jiwe langu la thamani nakuhitaji sana
mi nataka ebenezer nijenge juu yako
mi nataka ebenezer uwe msingi wangu
jiwe langu la pembeni nakutamani sana
jiwe langu la thamani nakuhitaji sana
Ebenezer ni jiwe langu
jiwe langu la msingi
mahali nimefika leo, ni kwa ajili yako ebenezer
mawe mengi yako hapa chini ya jua
kuna dhahabu, kuna almasi
kuna mawe hata sijui majina yake
lakini hakutawahi kuwa jiwe
kama Ebenezer




Download our Gospel lyrics Android App Here

Download Christina shusho lyrics Android App Here


Visit Our Information Technology Site







ANAWEZA BY: ANGELA CHIBALONZA







Uliniumba nikuabudu (You created me to worship you)
Kwa ajili yako mimi naishi (Because of you I'm alive)
Pasipo wewe singekuwepo (Without you I would not be here)

Mimi ni kazi ya mikono yako (I am the work of your hands)
Baba ninaona nikuabudu (Father I prefer to worship you)
Maana matendo yako ni mengi sana (Because your works are many)
Ishara zako Baba ni nyingi mno (Your signs are many)
Maana wewe ndiye Mungu wangu (Because you are my God)
Uliniumba niseme matendo yako (You created me to tell of your actions)
Wewe ndiwe Mungu wa miungu (You are the God of gods)
Wewe kimbilio letu na ngome yet (You are our fortress and help)
Hakuna aliye kama wewe (There is no one like you)
Maneno ya kusema yananikosa (I am lost for words)
Maana matendo yako ni ya ajabu (Because your works are wondergul)
Maana ishara zako ni nyingi (Because your signs are many)
Kwa macho nimeona makuu yako (With my eyes I have seen your greatbess)
Masikio nimesikia matendo yako (My ears have heard your works)
Ndio maana nimetambua (That is why I know)
Ya kwamba niliumbwa nikuabudu (That I was created to worship you)
Mungu wa milele (Everlasting God)







Download our Gospel lyrics Android App Here

Download Christina shusho lyrics Android App Here


Visit Our Information Technology Site







TABIBU BY: ANGELA CHIBALONZA







Nitabibu wa karibu
tabibu wa ajabu
na nehema na daima

ni dawa yake njema
hatufai kuwa hai
wala hatatumai ila yeye kweli ndiye
atupumzishaye

Imbeni malaika sifa
za Yesu Bwana
Pweke limetukuka Jina lake Yesu

Dhambi pia na hatia ametuchukulia
twenendeni na amani
hata kwake mbinguni
uliona tamu jina la Yesu Kristo Bwana
Yuna sifa mwenye kufa hasishindwe na kufa

Imbeni malaika sifa
za Yesu Bwana
Pweke limetukuka (limetukuka) Jina lake Yesu

Kila mume asimame
sifa zake zivume
wanawake na washike
kusifu jina lake

Imbeni malaika (sifa) sifa
za Yesu Bwana (ooh pweke)
Pweke limetukuka (limetukuka) Jina lake Yesu






Download our Gospel lyrics Android App Here

Download Christina shusho lyrics Android App Here


Visit Our Information Technology Site







JUBILEE BY: ANGELA CHIBALONZA







Eh Jubilee
Bongo tango yango oyo
To lamuka eh

Congo mboka na biso
Nzambe alingi biso mingi
Ye wana aza na nzela
Aza ko ya ko bikisa biso eh
Hallelujah
Bo fungola miso botala na ngomba

Leve toi. Soit elaire
Comme ta lumiere arive
Et la gloire de l'eternelle se leve sur toi
Ezali mbula ya jubilee
Bakonzi ya mboka bo lamuka eh

Ba Congolais, bolamuka eh
Belei ekoti na mboka ah
Mbula ya Nzambe eko noka eh
Bikuke ya Nzambe efungwami oh
Ezali mbula ya restoration

Jubilee, Jubilee
Oh Jubilee
Jubilee na Congo
Nzambe asili ko sala eh
Oh Jubilee
Jubilee, Jubilee
Oh Jubilee

Ba Congolais to sepela
Oh Jubilee
Nzambe ayoki mabondeli
Oh Jubilee

Oh Jubilee
Basali ya Nzambe telema
Bo kamba ba pate ya Nzambe eh
Bisika bilei bizali
Bato ya masumu tubela
bobanga Nzambe na Israel

Azali na makoki ya ko pambola
Soki afungoli nani ako kanga yango oh
Nzambe asili ko sala eh
Tika biso pe to lingana ah
To longola kanda na mitema
Jubilee, Jubilee
Oh Jubilee

Jubilee na Congo
Oh Jubilee
Mabala ekufa lamuka eh
Bolingo ekufa lamuka
Oh Jubilee
Economie ekufa lamuka ah
Oh Jubilee

Oh Jubilee, Jubilee
Oh Jubilee

Instrumental

Oh Jubilee
Soki Nzambe adimi nani ako boya eh
Soki Nzambe afungoli nani ako kanga ah
Oko tiya tembe
Oko mona kasi oko liya te

Nzambe asili ko sala ah
To longola elikya na Poto
To tiya elikia na Nzambe
To tonga mboka ya Congo
Kati na bomoko pe bolingo

Ba Congolais boyoka nga
Nzambe asili ko sala eh eh eh

Oh Jubilee
Jubilee, Jubilee
Oh Jubilee
Bato ya Goma bo sepela eh eh
Oh Jubilee

Volcan eyaki eko zonga pe
Oh Jubilee
Marchandise ekufaki eko telema eh
Commerce ekufaki lamuka
Oh Jubilee
Bolingo ekufaki lamuka
Oh Jubilee

Toyoka mongongo ya Nzambe eh
Hallelujah
Jubilee, Jubilee
Jubilee na Congo
Hallelujah

Nzambe atonda bolingo
Oh Jubilee
Nzambe atonda mawa, bandeko
Oh Jubilee
Alingi biso ba Congolais
Oh Jubilee

To sangana to tonga mboka na biso
Oh Jubilee
Ba president to lamuka eh
Oh Jubilee
Gouvernement to lamuka eh
Oh Jubilee

Hallelujah
Mwinda ya Nzambe epeli na Congo
Oh Jubilee




Download our Gospel lyrics Android App Here

Download Christina shusho lyrics Android App Here


Visit Our Information Technology Site







NINATAMANI BY: ANGELA CHIBALONZA







ninatamana nifanye mapenzi yake ili nifiki mbinguni kwa baba yangu
ninatamani niishi karibu naye ili ninywe maji ya uzima wa milele
yesu akasema mimi nimi njia ya uzima akuna awezae kufika kwa baba yangu bila kwangu mimi miminimi njia ya uzima

yesu akasema mimi nimi njia ya uzima akuna awezae kufika kwa baba yangu bila kwangu mimi miminimi njia ya uzima
baba natamani nikuone2
yesu natamani nikuone
masia natamani nikuone
maishani mwangu natamani nikuone
baba natamani nikuone

ninatamani niombe bila kukoma ili nifike mbinguni kwa baba yangu
ninatamani niyashinde majaribu
nivikwe taji, taji ya uzima wa milele

yesu akasema miminimkate wa uzima atakaye nila ataona kamwe njaa bali atakaa karibu nami milele2
baba natamani nikuone2
masia natamani nikuone
maishani mwangu natamani nikuone
kazini mwangu natamani nikuone
yesu natamani nikuone
baba natamani nikuone.




Download our Gospel lyrics Android App Here

Download Christina shusho lyrics Android App Here


Visit Our Information Technology Site







INUA MOYO WANGU BY: ANGELA CHIBALONZA







Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe,

Inua.

Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe,

Baba Inua.
Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe,

(Instrumental)

Mara nyingi shida yasumbua moyoni, Mwanadamu huogopa na kunung'unika,
juu ya nini Mungu ameniacha lakini Bwana Yesu ni mwaminifu sana, lakini Bwana Yesu ni mwaminifu sana.

Inua
Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe,

Bwana Yesu Inua.
Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe,

Baba Inua
Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe,

Instrumental

Jipe moyo Mwanadamu Bwana Yesu anakuona, anajua unapolala na unapoamkaaaa

Akiwa upande wako nani atakuwa juu yako... usiwe na wasiwasi linda imani yako, usiwe na wasiwasi linda imani yako.

Inua.
Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe,

Bwana Yesu Inua.
Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe,

Yesu Inua.
Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe,

(Instrumental)

Kwa mganga wa kienyeji hakuna jibu lolote,
katika shida zangu na matatizo yangu,

Neno la Mungu lasema barikiwa mtu yule
anayemtumaini Mungu Baba Mwenyezi,
anayemtumaini Mungu Baba Mwenyezi...

Inua.
Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe,

Bwana Yesu Inua.
Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe,

Bwana Yesu Inua.
Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe,

(Instrumental)

Baba Inua
Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe,

Baba Inua.
Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe,

Natamani kuzungumza na wewe.
Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe,

Mimi nakuhitaji...
Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe

Bwana Inua.
Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe

Bwana Yesu inua.
Inua moyo wangu, ili mimi nizungumze nawe




Download our Gospel lyrics Android App Here

Download Christina shusho lyrics Android App Here


Visit Our Information Technology Site







KAA NAMI BY: ANGELA CHIBALONZA







Kaa nami ni usiku sana
Usiniache gizani bwana
Msaada wako haukomi
Nili pekee yangu, kaa nami

Siku zetu hazikawii kwisha
Sioni la kunifurahisha
Hakuna ambacho hakikomi
Usiye na mwisho, kaa nami

(Prayer)

Nina haja nawe kila saa
Sina mwingine wa kunifaa
Mimi nitaongozwa na nani
Ila wewe bwana, kaa nami

Sichi neno uwapo karibu
Nipatalo lote si taabu?
Kifo na kaburi haviumi
nitashinda kwako, kaa nami

(Prayer)

Nilalapo nikuone wewe
Gizani mwote nimulikie
NUru za mbinguni hazikomi
Siku zangu zote kaa nami

(Prayer)






Download our Gospel lyrics Android App Here

Download Christina shusho lyrics Android App Here


Visit Our Information Technology Site







EBENEZAR BY: ANGELA CHIBALONZA







Umbali tumetoka, na mahali tumefika
Ndio maana ninatambua, kwamba wewe ni ebeneza
Sio kwa uwezo wangu,ila ni kwa uwezo wako
Mahali nimefika, acha nikushukuru
EE Bwana umenisaidia, nifike mahali nimefika
Bwana wewe ni ebeneza, maishani mwangu oo
Ninataka Ebeneza, nijenge juu yako
Ninataka Ebeneza, uwe msingi yangu
Jiwe langu la pembeni, nakutamani sana
Jiwe langu la thamani, nakuhitaji sana
Oo Ebeneza, jiwe langu

Ninataka maisha yangu, yajengwe juu yako
NInataka ndoa yangu, ijengwe juu yako baba
Ndoa zilizojengwa juu yako yahwe, hazivunjiki kamwe
Nyumba zilizojengwa juu yako yahweh hazivunjiki kamwe
Ninataka uimbaji wangu baba, ujengwe juu yako
Maana wewe ni sauti yangu, wewe ni uzima wangu

Ninataka Ebeneza, nijenge juu yako
Ninataka Ebeneza, uwe msingi yangu
Jiwe langu la pembeni, nakutamani sana
Jiwe langu la thamani, nakuhitaji sana
Oo Ebeneza, jiwe langu

Ebeneza na nga
libanga na ngai ya talo
oleki diamant mpe wolo papa eh kati na bomoyi na ngai
Nzambe nakumisi yo
moko te akokani na yo oh oh
Bisika nakomi lelo Yawe ezali nse na makasi na yo
Aleluya Nzambe na ngai

Ninataka Ebeneza, nijenge juu yako
Ninataka Ebeneza, uwe msingi yangu
Jiwe langu la pembeni, nakutamani sana
Jiwe langu la thamani, nakuhitaji sana
Oo Ebeneza, jiwe langu
Ebenezer ni jiwe langu, jiwe langu la msingi
Mahali nimefika leo, Ni kwa ajili yako ebeneza
Mawe mengi yako hapa chini ya jua
kuna dhahabu, kuna almasi Kuna mawe hata sijui majina yake
Lakini hakutawahi kuwa jiwe kama ebeneza






Download our Gospel lyrics Android App Here

Download Christina shusho lyrics Android App Here


Visit Our Information Technology Site







YAWEH UHIMIDIWE BY: ANGELA CHIBALONZA







Chorus:
Yahwe Uhimidiwe, (Yahweh be praised)
uaminifu wako umejulikana (Your faithfulness is known)
Kwa mataifa yote ya ulimwengu, Yahweh (By all the nations, Yahweh)
Yahwe Uhimidiwe, (Yahweh be praised)
uaminifu wako umejulikana (Your faithfulness is known)
Kwa mataifa yote ya ulimwengu, Yahweh (By all the nations, Yahweh)

Verse 1:
Uliumba lakini haukumbwa, (You created, but you were not created)
Jina lako jemedari, ninakuinua(You are the General, I lift you up)
Jina lako mkombozi, ninakupenda(You are the savior, I love you)
Umefuta jina langu kwenye hukumu(You have erased my name from the judgement)
Umefuta jina langu kwenye laana (You have erased my name from the curse)
Ndio maana ninakuina Mungu wangu ee(That is why I raise you up my God)
Kwa sababu siko tena chini ya dhambi ee(Because I am no longer under sin)

(Chorus)

Verse 2:
Kama si wewe Yesu ningeitwa nani?(If not for you Jesus, what would my name be?)
Kama si wewe Yesu Ningekuwa wapi?(If not for you Jesus, where would I be?)
Kama si wewe Yesu ningeenda wapi?(If not for you Jesus, where would I go?)
Kama si wewe Baba ningesema nini?(If not for you father, what would I say?)
Asante Bwana Yesu kwa ukombozi(Thank you Lord Jesus for the redemption)
Asante Bwana Yesu Kwa wokovu(Thank you Lord Jesus for the salvation)
Ndio maana nakuinua Mungu wangu(That is why I lift you up my God)
Umeniokoa mimi kwa damu ya bei(You have saved me from the price of blood)
Umenitendea mambo ya ajabu(You have done great things for me)
Ninakuinua Baba yahweh(I lift you up my father Yahweh)

(chorus)

Verse 3:
Majina yote mazuri ni yako baba(All the good names are yours father)
Unaitwa Jehova shammah, ninakupenda(You are Jehovah Shammah, I love you)
Unaitwa Jehova Jehova Jireh, ninakupenda(You are Jehovah Jireh, I love you)
Unaitwa Jehova Nissi bendera ya ushindi wangu(You are Jehova Nissi, my glorious banner)
Asante Baba yangu kwa upendo wako(Thank you my father for your love)
Hakuna Mwingine kama wewe(There is no one else like you)
Hakuna Mwingine kama wewe(There is no one else like you)
Ninakupenda Baba yangu(I love you my father)

(Chorus)




Download our Gospel lyrics Android App Here

Download Christina shusho lyrics Android App Here


Visit Our Information Technology Site







ULINIUMBA NIKUABUDU BY: ANGELA CHIBALONZA







Refrain:
Uliniumba nikuabudu (You created me to worship you)

Kwa ajili yako mimi naishi (Because of you I’m alive)
Pasipo wewe singekuwepo (Without you I would not be here)
Mimi ni kazi ya mikono yako (I am the work of your hands)

Baba ninaona nikuabudu (Father I prefer to worship you)
Maana matendo yako ni mengi sana (Because your works are many)
Ishara zako Baba ni nyingi mno (Your signs are many)
Maana wewe ndiye Mungu wangu (Because you are my God)
Uliniumba niseme matendo yako (You created me to tell of your actions)
Wewe ndiwe Mungu wa miungu (You are the God of gods)
Wewe kimbilio letu na ngome yet (You are our fortress and help)
Hakuna aliye kama wewe (There is no one like you)

Maneno ya kusema yananikosa ( I am lost for words)
Maana matendo yako ni ya ajabu (Because your works are wondergul)
Maana ishara zako ni nyingi (Because your signs are many)
Kwa macho nimeona makuu yako (With my eyes I have seen your greatbess)
Masikio nimesikia matendo yako (My ears have heard your works)
Ndio maana nimetambua (That is why I know)
Ya kwamba niliumbwa nikuabudu (That I was created to worship you)
Mungu wa milele (Everlasting God)

(Chorus)






Download our Gospel lyrics Android App Here

Download Christina shusho lyrics Android App Here


Visit Our Information Technology Site