ads

Thursday 15 March 2018

EBENEZAR BY: ANGELA CHIBALONZA







Umbali tumetoka, na mahali tumefika
Ndio maana ninatambua, kwamba wewe ni ebeneza
Sio kwa uwezo wangu,ila ni kwa uwezo wako
Mahali nimefika, acha nikushukuru
EE Bwana umenisaidia, nifike mahali nimefika
Bwana wewe ni ebeneza, maishani mwangu oo
Ninataka Ebeneza, nijenge juu yako
Ninataka Ebeneza, uwe msingi yangu
Jiwe langu la pembeni, nakutamani sana
Jiwe langu la thamani, nakuhitaji sana
Oo Ebeneza, jiwe langu

Ninataka maisha yangu, yajengwe juu yako
NInataka ndoa yangu, ijengwe juu yako baba
Ndoa zilizojengwa juu yako yahwe, hazivunjiki kamwe
Nyumba zilizojengwa juu yako yahweh hazivunjiki kamwe
Ninataka uimbaji wangu baba, ujengwe juu yako
Maana wewe ni sauti yangu, wewe ni uzima wangu

Ninataka Ebeneza, nijenge juu yako
Ninataka Ebeneza, uwe msingi yangu
Jiwe langu la pembeni, nakutamani sana
Jiwe langu la thamani, nakuhitaji sana
Oo Ebeneza, jiwe langu

Ebeneza na nga
libanga na ngai ya talo
oleki diamant mpe wolo papa eh kati na bomoyi na ngai
Nzambe nakumisi yo
moko te akokani na yo oh oh
Bisika nakomi lelo Yawe ezali nse na makasi na yo
Aleluya Nzambe na ngai

Ninataka Ebeneza, nijenge juu yako
Ninataka Ebeneza, uwe msingi yangu
Jiwe langu la pembeni, nakutamani sana
Jiwe langu la thamani, nakuhitaji sana
Oo Ebeneza, jiwe langu
Ebenezer ni jiwe langu, jiwe langu la msingi
Mahali nimefika leo, Ni kwa ajili yako ebeneza
Mawe mengi yako hapa chini ya jua
kuna dhahabu, kuna almasi Kuna mawe hata sijui majina yake
Lakini hakutawahi kuwa jiwe kama ebeneza






Download our Gospel lyrics Android App Here

Download Christina shusho lyrics Android App Here


Visit Our Information Technology Site







No comments:

Post a Comment