ads

Thursday 15 March 2018

KAA NAMI BY: ANGELA CHIBALONZA







Kaa nami ni usiku sana
Usiniache gizani bwana
Msaada wako haukomi
Nili pekee yangu, kaa nami

Siku zetu hazikawii kwisha
Sioni la kunifurahisha
Hakuna ambacho hakikomi
Usiye na mwisho, kaa nami

(Prayer)

Nina haja nawe kila saa
Sina mwingine wa kunifaa
Mimi nitaongozwa na nani
Ila wewe bwana, kaa nami

Sichi neno uwapo karibu
Nipatalo lote si taabu?
Kifo na kaburi haviumi
nitashinda kwako, kaa nami

(Prayer)

Nilalapo nikuone wewe
Gizani mwote nimulikie
NUru za mbinguni hazikomi
Siku zangu zote kaa nami

(Prayer)






Download our Gospel lyrics Android App Here

Download Christina shusho lyrics Android App Here


Visit Our Information Technology Site







No comments:

Post a Comment