ads

Monday 9 January 2017

YESU NAKUPENDA BY ROSE MUHANDO











Chorus:
Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda,x2
Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda,
Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda,
Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda,
Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda,
Yesuuuu, yesu.

Msalabani dhambi zangu ulichukua,
Kufika kalivari Bwana ulizitua
Nami niwekwa huru ninakwimbia, (Repeat)

Nikufananishe na nani mwokozi wangu?
Naona fahari mimi ninakuimbia,
Nani asimame badala yako?
Hakuna mwingine ni wewe pekee yako.(Repeat)

Nafahamu Yesu anipenda mimi.

Chorus:
Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda,x2
Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda,
Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda,
Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda,
Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda,
Yesuuuu, yesu.

Nilipokuwa kwa shetani niliugua,
Ndugu na jamaa zangu walinikimbia,
Lakini yesu wa huruma ukanihurumia,
Nikufananishe na nani mwokozi wangu?
Naona fahari mimi ninakuimbia,
Nani asimame badala yako?
Hakuna mwingine ni wewe pekee yako.

Nafahamu Yesu anipenda mimi.

Chorus:
Yesu wee nakupenda, bwana yesu wee nakupenda,x2
Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda,
Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda,
Kama vile wewe ulivyo nipenda kwanza nakupenda,
Kisha tena ukautoa uhai wako nakupenda,
Yesuuuu, yesu.


Kwimake eeh, kwimake weh,Kwimake weeh, kwimake eh
Kwimake mundewa Yesu,oh kwimake eh
kunilapa kwe ruhoma baba, oh kwimake weh
kunilapa kwe ruhoma baba, oh kwimake weh
Kwimake baba, kwimake baba, Kwimake baba, kwimake baba
Kwimake mundewa baba,oh kwimake eh
Jaga kyala, jaga kyala, jaga kyala baba, jaga kyala
Asante mwokozi wangu, uh asante eh,Asante mwokozi wangu, uh asante eh




www.gospelyrix.com







No comments:

Post a Comment