ads

Tuesday 20 February 2018

HATUA ZA MWENYE HAKI BY: CHRISTINA SHUSHO






Hatua za mwenye haki, zaongozwa naye bwana,
na Bwana ufurahia, njia zake wakati wote X2

Nakukabidhi Bwana, njia zangu zote,
pia nakutumaini, najua Bwana utafanya,
Ata nijapojikwaa, sitaanguka chini,
Bwana
utanishika
mkono na kunitengenezaX 2

Bwana nimetambua
unafanya kazi kwa siri ndani yangu.

umwangazia mtumishi wako , uso wako,
maana ninayatamani maagizo yako.
Elekeza hatua zangu, kwa neno lako,
uovu usije ukanimiliki X2

[Refrain]
Ongoza hatua zangu, (ee bwana) X2
Ongoza mwendo wangu, (ee bwana) X2



Download our Gospel lyrics Android App Here

Download Christina shusho lyrics Android App Here


Visit Our Information Technology Site





>

No comments:

Post a Comment