ads

Monday 9 January 2017

MUNGU HANA MSHAURI - BAHATI BUKUKU











Nguzo za dunia, ziko wapi,
naomba wanadamu mniambie,
nipata ya dunia, iko wapi,
naomba dunia mnionyeshe,
nguzo za dunia, ziko wapi,
ni nani anaweza kunionyesha,
mipaka ya dunia iko wapi,
ni nani anaweza kunionyesha,
nani mshauri wako Mungu,
nani mshauri wako,
huna mshauri Mungu x2

hivi kama kifo ingepigiwa kura,
adui wako wangekupigia,
hivi kama kifo ingepigiwa kura,
wasio kupenda wangekupigia,
hivi kama kifo ingepigiwa kura,
wasio nipenda wangenipigia,
hivi kama kifo ingepigiwa kura,
wasio kupenda wangekupigia,
hana mshauri Mungu, x2

CHORUS:
nani mshauri wako Mungu x2
huna mshauri Mungu x2
huna mshauri Mungu x2

[hivi kama mwanadamu angepewa mamlaka yakuzuia baraka ulizo nazo,
(hivi kama adui zako wangepewa mamlaka ya kuzuia uhai ulio nao)x2] x2
hivi nani mshauri wako, Mungu,
nani mshauri mshauri wake,
[yeye hana mshauri, Mungu hana
hana mshauri Mungu] x2

CHORUS:
nani mshauri wako Mungu x2
huna mshauri Mungu x2
huna mshauri Mungu x2

hivi kama mwanadamu angepewa mamlaka,
ya kushikilia uchumi wako,
hivi kama mwanadamu angepewa mamlaka,
ya kushikilia elimu yako,
hivi kama adui zako wangepewa mamlaka,
ya kushikilia familia uliyo nayo,
hivi kama kifo ingepigiwa kura,
adui zako wangekupigia kura,
[hivi kama kifo ingepigiwa kura,
wasiokupenda wangekupigia kura,] x2
[hana mshauri Mungu huna,
hana mshauri Mungu.] x2

[kweli hana mshauri Mungu, hana,
kweli hana Mshauri Mungu] x8




www.gospelyrix.com







No comments:

Post a Comment