ads

Monday 9 January 2017

TENDA WEMA - CHRISTINA SHUSHO











CHORUS
tenda wema nenda zako we,
(husisahau mungu anaona),
siku ya kukumbukwa ipo,
yeyeye atakulipa
tenda wema nenda zako we,
(husisahau mungu anaona),
siku ya kukumbukwa itafika.

VERSE 1
mayatima umesomesha sana ,
wenye shida umesaidia wote,
wenye njaa umewapa chakula,
nguo zako umepeana zote,
hakuna anayetambua,
haya ambayo umetenda kwote,
sasa naona inakupa worry,
nakuomba we husijali,
aliyekuita anaona yote ,
utabarikiwa na siku zote.

chorus
tenda wema nenda zako we,
(husisahau mungu anaona),
siku ya kukumbukwa ipo,
yeyeye atakulipa
tenda wema nenda zako we,
(husisahau mungu anaona),
siku ya kukumbukwa itafika.

verse 2
aliwaponya ,wagonjwa wao,
yesu huyo,akafufua wafu wao,
yesu huyo,mwisho wakamuita,pepo huyo
na tena wakamuita desivuri
wewe si wakwanza,
na hutakuwa wa mwisho,
yesu katukanwa,sembuse mwanadamu,
tenda wema nenda zako oh
husingoje shukrani eh x2
(chorus)
utawasomesha wajue kizungu wakutusi,
utawalisha ,washibe wakupige,
wewe tenda mema ,
wewe tenda mema tu,x2
(chorus)




www.gospelyrix.com







No comments:

Post a Comment