ads

Wednesday 14 March 2018

NAKAZA MWENDO BY: ROSE MUHANDO







Nafurahia mateso yangu, nafurahia mateso yangu,
Ujapoharibika mwili huu, tapata mwingine kwa Baba,
Ujapoharibika mwili huu, tapata mwingine kwa Baba.

Chorus:
Nakaza mwendo, nifike Mbinguni,
Nayakabidhi, maisha kwa Bwana,
Nauone, uzuri wa bwana.x2

Taabu na matatizo, hakuna,
Kiu wala njaa, hakuna.x2

Verse 2:
Lakini mji ule taa yake, ni mwana kondoo,
Milele mji ule hauitaji, jua wala mwezi.

Najua kuishi kwangu ni pigo, kufa ni faida,

Chorus:
Nakaza mwendo, nifike Mbinguni,
Nayakabidhi, maisha kwa Bwana,
Nauone, uzuri wa bwana.x2

Verse 3:
Lakini waongo na wazinzi, hawataingia,
wala waabudu sanamu, hawataingia.x2

Najua kuishi kwangu ni pigo, kufa ni faida,

Chorus:
Nakaza mwendo, nifike Mbinguni,
Nayakabidhi, maisha kwa Bwana,
Nauone, uzuri wa bwana.x2






Download our Gospel lyrics Android App Here

Download Christina shusho lyrics Android App Here


Visit Our Information Technology Site







No comments:

Post a Comment